Mjumbe wa Halmashauli Kuu ya Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya (CCM) January Makamba akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kufanya mambo mapya  yenye tija ambayo hayajawahi kufanyika ikiwemo mdahalo wa wagombea Urais ameyasema hayo jana  jijini Dar es Salaaam katika ofisi ndogo za Chama cha Mapinduzi CCM.
Wanahabari wakimsikilaza Mjumbe wa Halmashauli Kuu ya Taifa na ni Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya (CCM) January Makamba jana katika Ofisi ndogo ya chama cha mapinduzi  jijini Dar es Salam.
(Picha na Emmanuel Mssaka).

HABARI ZAIDI INGIA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...