Mjumbe wa Halmashauli Kuu ya Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya (CCM) January Makamba akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kufanya mambo mapya yenye tija ambayo hayajawahi kufanyika ikiwemo mdahalo wa wagombea Urais ameyasema hayo jana jijini Dar es Salaaam katika ofisi ndogo za Chama cha Mapinduzi CCM.
Wanahabari wakimsikilaza Mjumbe wa Halmashauli Kuu ya Taifa na ni Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya (CCM) January Makamba jana katika Ofisi ndogo ya chama cha mapinduzi jijini Dar es Salam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...